Hey guys here are the lyrics to my new single kadhaa of the Godfather wa genge album.....Unaeza print,copy paste,download and sing along........................
Artist: NONINI
Song name: Kadhaa
Hii ni celebration ya wale watu wote wana leave there dream
Umekua uki struggle thru thick and thin!
Finally mambo imeanza kuenda poa
Thru patience na percistance tumetoboa
Wafrica tumefika mali tulikua tunataka
Big Obama na Godfatha!
Ehh oneni hii mambo vile imeenda sasa,
Dunia nzima vile mgenge anaandika ukurasa,
Za history bana! Na ma action na kila kitu miuganafanya.
Nani alisema hatuwezi ishi na usanii,
Daily ku waprove wrong tunaongeza vitambii
Utasmamisha aje kifaru ikiwa full speed mbele
Itapita nakila kitu fungua pazia wewe
Bora ujue mchezo jo kuicheza kwa uwanja,
Wacha hao watangulie waende jo huko kwanza,
Waaanze na moto kisha watoe jasho bratha,
Kijelimo unaanza kuwakaribia,
Ona sasa vile unawapita ukiwasmilia,
Finish line ndio hio iko karibu imekaribia,
Moyo inadunda taratibu.......inakimbia,
Hio ni ndoto yako na hii ni ndoto yangu na ishi,
Kwa hivyo imba karibia celebrate na mimi.
Ka una ganji kadhaa.........na umengara balaaaa........Heyyyyyyyy heeeyyyyyyyy
Una ma chupa kadhaa......na ma dada kadhaaaaa.........Heyyyyyyy heyyyyyyyyy
Umetoka kwa bank......Gari full kwa tank..........Heyyyyyy heyyyyyyyyyy
We ni mgenge jamaa.......umepata wife na jamaaaa..... EEhhhhhhh HHeeeeeee...!!!!!!! x2
Niko full mzuka ka mc hammer,
Hauwezi guza hii na ma neighbour walihama,
Sasa usione mziki vile inanguka,
ma binti wafiti vile wanajirusha
Sabu sister msmall ame graduate leo campo!
Nilikua najua haka katoi skumoja katafika hapo
Brother amedungwa promotion jamo ya vungu
Ehhhhhhhhhhhhhhhhhh promotion jamo ya vungu?.....
Brother amedungwa promotion moja ya nguvu
Loan ile uli apply kitambo naskia imejipa,
Hio ndai mpya ulikua ukitaka umeishika,
Sasa usione vile mombasa road inakurarukia
Bara imeongezwa lane nne unaswitch switch tu ma gear,
Najua wengi wenyu msachoka na maneno ya siasa,
Hawa jamaa utuzungusha tu nika tunacheza salsa,
Haina mambo sku yao itafika
Lakini in the mean time celebrate kabisa kua mwafrica.
Ka una ganji kadhaa.........na umengara balaaaa........Heyyyyyyyy heeeyyyyyyyy
Una ma chupa kadhaa......na ma dada kadhaaaaa.........Heyyyyyyy heyyyyyyyyy
Umetoka kwa bank......Gari full kwa tank..........Heyyyyyy heyyyyyyyyyy
We ni mgenge jamaa.......umepata wife na jamaaaa..... EEhhhhhhh HHeeeeeee...!!!!!!! x2
Kcse najua watu wangu wengi mume pita,
Playstation 3 ume i earn bila shida,
Na usiwe na wasi wasi hata ka exam uli dunda jamaa,
Hauwezi jua labda wewe ndio the future paul Obamaaa,
Kuna harusi noma leo nime alikwa baadaye,
Mtu wangu abas anaoa why lie,
Morale boi wetu huyo ametusetia pace,
Lakini mimi bado nipo nipo jus incase,
Ulikua una wonder
Vuka bongo ukaulize mtu wangu wa nguvu tu mwana,
Lakini hii reception mambo mbaya,
Venye hizi drinks zinakamu hawa jamaa wanaubaya,
Hapa tunamakesure sisi ndio wamwisho kutoka,
Unakwama ni ka chuma imepigwa solda,
Hii ni verse ya ma bachelor wote wale wametuacha,
Sisi tu na celebrate vile watoto kibao tutawapata.tuwachapa!
Ka una ganji kadhaa.........na umengara balaaaa........Heyyyyyyyy heeeyyyyyyyy
Una ma chupa kadhaa......na ma dada kadhaaaaa.........Heyyyyyyy heyyyyyyyyy
Umetoka kwa bank......Gari full kwa tank..........Heyyyyyy heyyyyyyyyyy
We ni mgenge jamaa.......umepata wife na jamaaaa..... EEhhhhhhh HHeeeeeee...!!!!!!! x2