Nonini Music - Wagenge » Support

MANZI WA NAIROBI!!

(3 posts)
  1. bittz
    Member

    manzi wa nairobi ni manzi wa nairobi,ni msupa na anajua kuhustle na kuhepi na kuunganisha chapa all @ tha same time,manze dunia mzima hakuna manzi kama wa nairobiiii...huwezi toboa na manzi wa nairobi kama hauna chapa,sio siri....

    Posted 3 years ago #
  2. Manzi wa nairobi ana kuambiaga hapa ni garama msela lazima manicure,pedicure na zinginezo kathalicure!

    Posted 3 years ago #
  3. Manzi wa nai, ukishindwa kumkatia ana kukatia kiroho safi ili umpe kile anataka. Heshima kwa madame wa nai. Au sio!

    Posted 3 years ago #

RSS feed for this topic

Reply

You must log in to post.